TULIA ACKSON AAPISHWA KUWA SPIKA WA BUNGE
Mbunge wa Jimbo la Mbeya Mjini, Dkt. Tulia Ackson, ameshinda uchaguzi wa nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania baada ya kupata kura 376 kati ya 376 zilizopigwa sawa na asilimia 100. Hii inamaanisha na wabunge 19 wa chama cha CHADEMA waliohudhuria leo kura zao zimo kwenye hiyo jumla. Spika Tulia
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed